Mwaka 2018 ulikuwa ‘tamu na chungu’ sasa tumeazimia kutokata tamaa 2019 - Guterres
Kuelekea mwaka mpya wa 2019, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia salamu zake za mwaka mpya akifanya tathmini ya mwaka 2018 na matarajio yake kwa mwaka mpya.