Ulinzi wa raia vitani- maneno mengi kuliko vitendo
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Si vita nchini Syria wala mfululizo wa madhila kwa mamilioni ya watu vilivyo na dadili ya kumalizika ameonya leo Jan Egeland akitoa taarifa kuhusu hali ya kibinadamu kwa taifa hilo lililoghubikwa na vita vya zaidi ya miaka saba sasa.