Wafanyakazi wa mashambani Jordan ni taabani- ILO
Utafiti uliofanywa na shirika la kazi duniani, ILO huko Jordan, umebaini kuwepo kuwa wafanyakazi wa mashambani hususan wakimbizi kutoka Syria wanaoishi nchini humo wanafanya kazi katika mazingira magumu na hivyo hatua zinapaswa kuchukuliwa kuwaokoa.