Kesi za unyanyasaji kingono zaongezeka kwa asilimia 218 nchini Sudan Kusini
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS umeeleza kuwa na wasiwasi mkubwa kutokan na kuongezeka kwa kesi za unyanyasaji wa kingono unaohusiana na migogoro zinazoibuka licha ya kupungua kwa jumla kwa idadi ya raia walioathiriwa na ghasia nchini humo.