Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Watoto waliokimbia makazi yao nchini Sudan Kusini
© UNMISS / Eric Kanalstein

Machifu Sudan Kusini wajengewa uwezo ili wawalinde watoto

Katika kuhakikisha watoto wanaoishi kwenye maeneo ya mizozo ya kivita hawahusishwi kuingia vitani, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto UNICEF wamewakutanisha pamoja zaidi ya machifu 80 wa Sudan Kusini ili kuwapatia elimu ya kukomesha na kuzuia ukiukwaji wa haki za watoto.

Sauti
3'15"