UNMISS kubadili mbinu za utoaji wa misaada ya kibinadamu Malakal
Ziara maalum iliyofanywa na Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya Kibinadamu nchini Sudan Kusini, Sara Beysolow Nyanti, katika eneo la Malakal, nchini humo imebadili mtazamo wa aina ya misaada inayohitajika na wananchi walioathiriwa na ghasia na majanga ya asili.