Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Mapigano ya kikabila katika eneo la Jonglei nchini Sudan Kusini yamesababisha utekaji nyara na mauaji. (Maktaba))
UNMISS

Mzozo wa wakulima na wafugaji Sudan Kusini wasababisha vifo vya zaidi ya watu 130 

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudan Kusini UNMISS umechukua jukumu la kuwaleta pamoja raia na vyombo vya usalama vya serikali ili kuzungumza na kusaka amani kufuatia migogoro baina ya wakulima wakazi wa Magwi na wafugaji wanaohamahama, mapigano ambayo yamesababisha vifo vya watu 130 pamoja na kuchochea vitendo vya udhalilishaji.

Sauti
2'38"