Makubaliano mapya kuhusu uhamiaji ni suluhu ya masuala mengi- Espinosa
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa María Fernanda Espinosa, amesema anaelewa fika uamuzi wa baadhi ya mataifa wa kutokuwa tayari kutia saini makubaliano mapya kuhusu uhamiaji baadaye mwaka huu.