Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Chanjo dhidi ya Ebola  kwa wahudumu wa afya  Mashariki mwa DRC katika mkoa wa Kivu Kaskazini.
WHO-Eugene Kabambi

Hatujasitisha huduma zetu DRC- WFP

Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP limesema linaendelea na mgao wa chakula na usambazaji wa vifaa kwenye maeneo yaliyokumbwa na mlipuko wa Ebola huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

Dikembe Mutombo, Rais wa Mfumo wa Dikembe Mutombo na pia mcheza kikapu mashuhuru wa NBA ambaye sasa amestaafu. Pichani akiwa katika vikao maalum kwenye makao makuu ya UN kuhusu uzuiaji uhalifu, Aprili 2018
UN /Manuel Elias

E4J ndio mwelekeo wa kunusuru vijana - Mutombo

Balozi wa kimataifa wa chama cha mpira wa kikapu nchini Marekani,  NBA, Dikembe Mutombo amesema kuwapatia vijana elimu inayowawezesha kujiepusha na vitendo vya uvunjifu wa amani ni suala mujarabu katika kutekeleza lengo namba 16 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linalohusu amani, haki na taasisi thabiti.

Sauti
1'52"