Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Chanjo dhidi ya Ebola  kwa wahudumu wa afya  Mashariki mwa DRC katika mkoa wa Kivu Kaskazini.
WHO-Eugene Kabambi

Hatujasitisha huduma zetu DRC- WFP

Shirika la mpango wa chakula duniani, WFP limesema linaendelea na mgao wa chakula na usambazaji wa vifaa kwenye maeneo yaliyokumbwa na mlipuko wa Ebola huko Beni, jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.