Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Burundi

Dkt. Walter Kazadi Mulombo, Mwakilishi wa WHO nchini Burundi, ( wa pili kushoto) wakati wa uzinduzi wa wiki ya afya ya mama na mtoto mwaka 2019 nchini humo.
WHO/Burundi

Burundi yamfurusha Mkuu wa WHO siku chache kabla ya uchaguzi mkuu, WHO yazungumza

Shirika la afya la Umoja la Umoja wa Mataifa, WHO, limesema linawasiliana na serikali ya Burundi ili kufahamu sababu ya kufukuzwa kwa mwakilishi wake nchini humo pamoja na wafanyakazi wengine watatu. Serikali ya Burundi ilitangaza jana kumfukuza mwakilishi huyo Dkt. Walter Kazadi Mulombo, ikiwa ni siku chache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini humo. 

Sauti
1'52"