Dola milioni 222 kunusuru zasakwa kusaidia wakimbizi wa Burundi Tanzania, Rwanda na DRC
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, na wadau wake 33 wametoa ombi la dola milioni 222.6 kuwezesha kusambaza misaada muhimu ya kibinadamu kwa wakimbizi wa Burundi kwa mwaka huu wa 2021.