Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Burundi

Kuwa na ulemavu siyo ukomo wa maisha.
NICEF/Sebastian Rich

Watu wenye ulemavu Burundi waamua kuutekeleza wito wa UN kwa vitendo 

Nchini Burundi, Dany Kasembe, mwenye ulemavu wa mguu, ameamua kuwashirikisha wenzake katika kuutekeleza wito wa Umoja wa Mataifa kwa vitendo, wito ambao unataka uwepo wa dunia ambayo watu wote wana uwezo wa kupata fursa sawa na pia ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii ikiwemo katika hatua za kukabiliana na kujikwamua na janga la corona au COVID-19.