Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya haki za watoto hususan Afrika Mashariki

Hali ya haki za watoto hususan Afrika Mashariki

Pakua

Leo ni siku ya watoto duniani ikimulika kile ambacho kila mtu anafanya kuhakikisha kuwa dunia ni salama kwa mtoto wakati huu wa janga    la ugonjwa wa Corona au COVID-19. Umoja wa Mataifa una hofu kuwa janga hili linaweza kutowesha uzingatiaji wa misingi mikuu minne ya haki za mtoto ambayo ni kuishi, kuendelezwa, kushirikishwa na kulindwa. Je nini kinafanyika mashinani? Watoto wenyewe wanasemaje? Basi tumulike hali Afrika Mashariki.

Audio Credit
Flora Nducha/John Kibego/John Kabambala/Jason Nyakundi
Audio Duration
7'53"
Photo Credit
UNICEF/Dejongh