Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uwepo wa vikosi vya FIB, MONUSCO DRC vimeweka mazingira ya usalama kwa jamii

Uwepo wa vikosi vya FIB, MONUSCO DRC vimeweka mazingira ya usalama kwa jamii

Pakua

Leo tunamulika ni kwa jinsi gani uwepo wa kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB cha ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, MONUSCO umekuwa ni nuru kwa vijana na wafanyabiashara wa eneo la jimbo la Kivu Kaskazini. Shuhuda wetu huko si mwingine bali Luteni Issa Mwakalambo, afisa habai wa kikosi cha Saba cha Tanzania, 

Audio Credit
Anold Kayanda/ Luteni Issa Mwakalambo
Sauti
6'2"
Photo Credit
FIB/MONUSCO