Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa neno “UDENDA”

Jifunze Kiswahili: Ufafanuzi wa neno “UDENDA”

Pakua

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa  nchini Tanzania, BAKITA anafafanua maana ya neno “UDENDA”.

Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
1'
Photo Credit
Habari za UN