COVID-19 imekuwa mwiba kwa wavuvi mkoani Kigoma Tanzania
Pakua
Janga la corona au COVID-19 limeendelea kuitikisa dunia kijamii na kiuchumi karibu kila pembe ya ulimwengu. Na hali ndivyo ilivyo kwa wavuvi wa ziwa Tanganyika mkoani Kigoma ambako Devotha Songorwa kutoka Radio washirika TanzaniakidsTime FM amezungumza na wavuvi mbalimbali wa ziwa Tanganyika mkoani huo kutaka kujua je wanafahamu nini kuhusu janga hili , limewathiri vipi, na endapo wanatambua kuhusu suala la chanjo na umuhimu wake katika kuwanusuru wavuvi na sekta hiyo wakati huu wa janga la COVID-19? Ungana nao katika Makala hii.
Audio Credit
Devotha Songorwa
Sauti
5'37"