26 Julai 2019
Jaridani Julai 26, 2019 na Arnold Kayanda- ikiwa ni Ijumma
Habari kwa Ufupi kuanzia Homa ya ini, mashambulizi ya anga Syria na Hatua dhidi ya kukabiliana na Ebola.
Katika mada kwa kina tunasikia kutoka kwa kijana Mwiguli ambaye anaulabino akisimulia alivyonusurika kifo huku akikatwa mkono.
Na kwenye Neno la Wiki linachambuliwa neno Afkani.