Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa imeshinda tuzo ya kimataifa ya Shaaban Robert kwa kukuza msamiati wa lugha hiyo kimataifa.
UNIC/Ahimidiwe Olotu

Idhaa ya Kiswahili ya UN yashinda tuzo ya kimataifa ya Kiswahili ya Shaaban Robert

Nchini Tanzania hii leo Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, UN NEWS KISWAHILI imeibuka  mshindi wa tuzo ya kimataifa ya kiswahili ya Shaaban Robert katika kategoria ya ukuzaji wa misamiati. Hii ni mara ya kwanza kwa kipengele hicho kutolewa na kwenye tuzo hizo ambapo tumemuuliza Onni Sigalla, Mhariri Mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa, BAKITA, mmoja wa waaandaji wa tuzo hizo utaratibu wa ushindanishi.

 

Sauti
3'19"
Wakimbizi wa ndani huko Cabo Delgado nchini Msumbiji wakipokea misaada ya kibinadamu kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa na wadau wake.
© UNICEF/Ricardo Franco

Cabo Delgado!

Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu kuendelea kuzorota kwa hali ya kibinadamu na kuongezeka kwa ghasia katika jimbo la Cabo Delgado nchini Msumbiji.

 

Sauti
2'2"