UN yaadhimisha kwa mara ya kwanza siku ya kimataifa ya watu wenye asili ya Kiafrika
Katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya watu wenye asili ya Afrika Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kuhakikisha ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika sekta ya haki na uhalifu unakomeshwa kote duniani.