19 OKTOBA 2022
Karibu kuungana na Assumpta Massoi anayekuletea jarida likiangazia masuala mbalimbali ikiwemo
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni limebainisha kuwa wagonjwa wa magonjwa yasiyo yakuambukiza kama vile utipwatipwa, kisukari na magonjwa ya moyo wanazidi kuongezeka duniani na serikali zitaingia gharama kubwa iwapo hazitaongeza nguvu katika kuhamasisha wananchi kufanya mazoezi ya mwili.