31 Mei 2022
Jaridani Jumanne Mei 31, 2022 na Leah Mushi-
HABARI KWA UFUPI
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO leo limetoa taarifa mpya kuhusu kiwango ambacho tumbaku inaharibu mazingira na afya ya binadamu, ikitaka hatua zichukuliwe ili kuifanya sekta hiyo kuwajibikia zaidi juu ya uharibifu inayosababisha.