31 Machi 2022
Katika Jarida hii leo Grace Kaneiya atakujuza yanayo endelea katika pembe ya Afrika ikiwemo:-
Katika Jarida hii leo Grace Kaneiya atakujuza yanayo endelea katika pembe ya Afrika ikiwemo:-
Hii leo Jumatano katika Jarida tuna habari kwa ufupi zikimulika mimba zisizotarajiwa kuwa ni janga lilipouuzwa; misaada ya kibinadamu yafika eneo muhimu zaidi huko Ukraine ambako misaada ilikuwa haijafika tangu vita ianze mwezi uliopita na kisha miongozo mipya ya WHO ya kusaidia wanawake na watoto siku za mwanzo tu baada ya mtoto kuzaliwa. Mada kwa kina ni sehemu ya pili na ya mwisho ya mahojiano na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake , Wazee na Makundi Maalum, Dkt.
Watoto 330,000 Somalia hatarini kufariki dunia kutokana na unyafuzi- UNSOM
WHO yatoa huduma za matibabu na usaidizi wa kisaikolojia kwa wakimbizi wa Ukraine
Msichana Manuela Christine kinara wa kuhamasisha wasichana kubaki katika shule Uganda
Makala ni mafunzo kuhusu ulinzi wa mazingira
Katika mashinani tutasikia kutoka kwa mkurugenzi mkuu mpya wa ILO.
Jaridani Machi 28, 2022 na Leah Mushi tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kumulika changamoto za maji kwenye makambi ya wakimbizi. Pia tutasikia habari kwa ufupi zikiangazia, silaha za vilipuzi, hali ya watoto nchini Syria na ukiukwaji wa haki nchini Libya.
Jaridani Machi 25, 2022 na Flora Nducha
Tunaanza na habari kwa ufupi kisha mada kwa kina ambapo leo tutaelekea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC kukutana na mpiganaji wa zamani wa msitu ambaye sasa ameajiriwa na Umoja wa Mataifa. Na ikiwa IJumaa tutajifunza kiswahili
Katika Jarida la Jumatano Machi 23, 2022 kuna habari kwa ufupi zilkilenga mateso yanawowakibili wanawake wakati wa kujifungua, ujumbe wa Katibu Mkuu katika siku ya utabiri wa hali ya hewa duniani na wito wa ILO kwa Russia kukomesha uvamizi Ukraine pia tunaangazia kikao cha 66 cha kamisheni ya hali ya wanawake duniani kinachoendelea hapa Makao makuu ya Umoja wa Mataifa na hususan hatua zilizopigwa na Tanzania katika kusongesha usawa wa kijinsia, kwenye mashinani tutasikia kuhusu msaada linalotoa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi UNHCR nchini Poland.
Yaliyomo Jaridani la Jumanne Machi 22, 2022- Ujenzi wa mabwawa waboresha maisha ya wakulima wa mbogamboga nchini Rwanda.
-Sindano mpya ya Cabotegravir kutusaidia kukinga wengi dhidi ya VVU:UNITAID.
-UNHCR inahitaji dola bilioni 1.2 kwa ajili ya ktoa msaada kwa wakimbizi milioni 2.3.
Makala imeangazia mjadala wa wakulima wadogo wadogo kutoka Afrika.
Jaridani leo Machi 21, 2022 na Leah Mushi limeanza kwa habari kwa ufupi hususan-
Wanawake na wasichana wanaendelea kuishi maisha ya jehanamu nchini Sudan Kusini kutokana na unyanyasaji na ukatili ukiwemo wa kingono unaofanywa na makundi yote yenye silaha katika mzozo unaondelea nchini humo.
Misitu bora ni muhimu kwa ajili ya watu na sayari dunia amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake wa kuadhimisha siku ya kimataifa ya misitu hii leo.
Katika Jarida la mada kwa kina hii leo Ijumaa Lea Mushi na akuletea pamoja na mambo mengine
-Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani, WFP limesema wakati bei za vyakula duniani zimefikia kiwango cha juu kabisa, WFP ina wasiwasi juu ya athari za vita nchini Ukraine katika uhakika wa upatikanaji chakula duniani.
Miongoni mwa yaliyomo leo katika jarida letu la Habari linaloletwa kwako na Leah Mushi
- Mswada mpya unaopendekewa Uingereza kuhusu uhamiaji hauna tija kwa wakimbizi, waomba hifadhi na wahamiaji yaonya ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa na kutoa raia kwa serikali ya nchi hiyo kuufikiria upya
-Huko Gambia mradi wa mfuko wa Umoja wa Mataifa la ufadhili kwa kilimo IFAD waleta nuru kwa wakulima wa mpunga ambao pia wanafanya biashara