17 JANUARI 2022
Tuliyonayo hii leo kutoka Umoja wa Mataifa
Shirika la Umoja wa Mataifa la kazi duniani ILO limeonya mwaka 2022 ukuaji wa sekta ya ajira unatarajiwa kuzorota na tena bila uhakika kutokana na kuendelea kuwepo kwa janga la COVID-19 ambalo limeathiri soko la nguvukazi ulimwenguni.