05 JANUARI 2022
Pakua
Ni Jumatano ya tarehe 05 mwezi Januari mwaka 2022 leo tunakuletea mada kwa kina kutoka nchini Rwanda kumulika hatua za taifa hilo za kutekeleza mkataba wa kimataifa wa wakimbizi.
Pia utapata fursa ya kusikiliza habari kwa ufupi zikiangazia masuala mbalimbali ikiwemo UNESCO kulaani mauaji ya mwandishi wa habari nchini Myanmar.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
9'59"