Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Habari kwa Ujumla

UN News

Kiswahili kinalipa-mwanafunzi chuo kikuu cha Nairobi, Kenya

Kiswahili kinazidi kutamba na kutambuliwa kama lugha muhimu hata katika mafunzo ya tafsiri na ukalimani hususan nchini Kenya, katika Makala ya wiki hii Grace Kaneiya  wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amevinjari katika chuo kikuu cha Nairobi kitengo cha tafsiri na ukalimani ambapo amezungumza na mhadhiri katika kitengo hicho vile vile wanafunzi. Kulikoni basi nakupeleka moja kwa moja hadi Nairobi, Kenya.

Sauti
5'53"

27 DESEMBA 2019

Katika Jarida la mada kwa kina hii leo Flora Nducha anakuletea

-Wataalam wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamelaani vikali hukumu ya kifo aliyopewa muhadhiri wa chuo kikuu cha Bahauddin Zakariya nchini Pakistan bwana Unaid Hafeez mwenye umri wa miaka 33  kwa madai ya kukashifu dini darasani na kwenye mtandao wa Facebook

Sauti
9'57"

24 DESEMBA 2019

Katika Jarida la Habari hii leo Grace Kaneiya anakuletea

-Watoto waendelea kubeba gharama ya vita nchini Syria hususan katika jimbo la Idlib limeonya leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF

-Baada ya madhila na shulba chungunzima kwenye mahabusu nchini Libya mkimbizi kutoka Darfur aliyehamishiwa Rwanda asilmulia kilichomsifu na furaha yake sasa

Sauti
11'26"