Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Baada ya madhila Libya, mkimbizi kutoka Sudan apata kimbilio Rwanda

Baada ya madhila Libya, mkimbizi kutoka Sudan apata kimbilio Rwanda

Pakua

Takriban wakimbizi 2,500 na wasaka hifadhi wanashikiliwa katika vizuizi nchini Libya kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na Muungano wa Afrika AU. 

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
2'22"
Photo Credit
Picha na WMO/Cyril Ndegeya