UNICEF yasema watoto wanaendelea kubeba gharama za machafuko Syria 24 Disemba 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Watoto wanaendelea kubeba gharama kubwa za machafuko yanayoshika kasi Kaskazini Magharibi mwa Syria limesema leo shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. Audio Credit UN News/Jason Nyakundi Audio Duration 1'57" Photo Credit ©UNICEF/Watad Syria watoto UNICEF vita Idlib