Mkimbizi kutoka Syria aliyefurushwa mara tano asema bado ana nia ya kurudi nyumbani.
Pakua
Kutana na mkimbizi kutoka Syria Mustafa ambaye hii ni mara ya tano amelazimimika kufungasha virago yeye na familia yake ili kunusuru maisha yake. Pamoja n ayote hayo hakati tamaa ya kurejea nyumbani.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'15"