Dkt. Mukwege awashauri waathirika wa ubakaji kuwa wanapobakwa watambue hawana makosa
Pakua
Ubakaji unasalia kuwa moja ya uhalifu mbaya zaidi duniani na cha kusikitisha ni kwamba asilimia kubwa ya waathirika hushindwa kujitokeza au kushitaki uhalifu huo wakidhani kuwa ni makosa yao.
Audio Credit
UN News
Audio Duration
2'1"