Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Dkt. Mukwege awashauri waathirika wa ubakaji kuwa wanapobakwa watambue hawana makosa

Dkt. Mukwege awashauri waathirika wa ubakaji kuwa wanapobakwa watambue hawana makosa

Pakua

Ubakaji unasalia kuwa moja ya uhalifu mbaya zaidi duniani na cha kusikitisha ni kwamba asilimia kubwa ya waathirika hushindwa kujitokeza au kushitaki uhalifu huo wakidhani kuwa ni makosa yao.

Audio Credit
UN News
Audio Duration
2'1"
Photo Credit
ONU Info/Jérôme Bernard