Wakimbizi na wenyeji wafaidika na kliniki ya bure ya mazoezi ya viungo Bangladesh:UNHCR
Pakua
Klinini ya mazoezi ya viungo inayotoa huduma bure kwa wakimbizi wa Rohingya na jamii zinazowahifadhi nchini Bangladesh imeleta matumaini mapya kwa pande zote zinazopokea huduma .
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
2'26"