Mlinda amani mwanamke ashinda tuzo ya ulinzi wa amani UN
Mlinda amani kutoka Brazili anayehudumu katika mpango wa Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya kati MINUSCA, Ijumaa hii anakabidhiwa tuzo ya Umoja wa Mataifa ya kijeshi kwa mwaka 2019 katika utetezi wa masuala ya jinsia.