Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiswahili kinalipa-mwanafunzi chuo kikuu cha Nairobi, Kenya

Kiswahili kinalipa-mwanafunzi chuo kikuu cha Nairobi, Kenya

Pakua

Kiswahili kinazidi kutamba na kutambuliwa kama lugha muhimu hata katika mafunzo ya tafsiri na ukalimani hususan nchini Kenya, katika Makala ya wiki hii Grace Kaneiya  wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa amevinjari katika chuo kikuu cha Nairobi kitengo cha tafsiri na ukalimani ambapo amezungumza na mhadhiri katika kitengo hicho vile vile wanafunzi. Kulikoni basi nakupeleka moja kwa moja hadi Nairobi, Kenya.

Audio Credit
Flora Nducha/ Grace Kaneiya
Audio Duration
5'53"
Photo Credit
UN News