13 Aprili 2020
FLORA NDUCHA : Hujambo na Karibu kusikiliza Jarida kutoka Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa, kutoka hapa Marekani.
JINGLE (04”)
FLORA:Ni Jumatatu ya 13 Aprili mwaka 2020, mwenyeji wako hii leo ni mimi FLORA NDUCHA
1: Watoto walio vizuizini wako katika hatari ya kuambukizwa COVID-19 na wanastahili kuachiliwa
Maelfu ya watoto ambao kwa sasa wanazuiliwa kwenye nchi kadhaa kote duniani wako katika hatari kubwa ya kuambukiwa virusi vya Corona au COVID-19.