Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Burundi

Msanii akichora picha kwenye ukuta jinsi ya mbinu za mtu kujikinga dhidi ya virusi vya COVID-1 nchini Jamhuri ya afrika ya kati, CAR..
MINUSCA/Screenshot

Nchi za Afrika ya Kati zimedhibiti vyema COVID-19-UN

Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika ukanda wa Afrika ya Kati François Louncény Fall amehutubia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kusema kuwa harakati za serikali kwenye ukanda huo pamoja na wadau wao kukabili janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 zimewezesha ukanda huo kuwa wenye idadi ndogo zaidi ya wagonjwa na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo barani Afrika.

 

Kuwa na ulemavu siyo ukomo wa maisha.
NICEF/Sebastian Rich

Watu wenye ulemavu Burundi waamua kuutekeleza wito wa UN kwa vitendo 

Nchini Burundi, Dany Kasembe, mwenye ulemavu wa mguu, ameamua kuwashirikisha wenzake katika kuutekeleza wito wa Umoja wa Mataifa kwa vitendo, wito ambao unataka uwepo wa dunia ambayo watu wote wana uwezo wa kupata fursa sawa na pia ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii ikiwemo katika hatua za kukabiliana na kujikwamua na janga la corona au COVID-19.