Hataza kwenye tafiti kukwamua kiuchumi wahadhiri Vyuo Vikuu
Tafiti zinazofanywa na wahadhiri wa Vyuo Vikuu duniani kote zisisalie kwenye makabrasha na makabati bali zifanyiwe mchakato wa miliki ya ubunifu na hatimaye zigeuke chanzo cha kipato kwa wahadhiri hao, jambo litakalofanikisha harakati za kuondokana na umaskini.