UNEA6: Viongozi wakuu wa Umoja wa Mataifa watoa wito wa kuchukuliwa hatua
Viongozi mbalimbali wameutumia Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Baraza la mazingira duniani (UNEA6) kutoa wito kwa ulimwengu kuchua hatua za kuyaokoa mazingira ambayo yanapokuwa hatarini maana yake pia viumbe hai wakiwemo binadamu nao wako hatarini.