Natumai uchaguzi utakuwa wa amani – Guterres kwa DRC
Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wakiingia kwenye uchaguzi mkuu wa rais, magavana na wabunge na madiwani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema ni matumaini yake uchaguzi huo utafanyika kwa amani, kwa uwazi na ujumuishi.