Janga la kibinadamu Sudan ni tete - Griffiths
Akiwa njiani kulekea kuelekea Sudan, baada ya kutakiwa kufanya hivyo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mratibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa misaada ya dharura, Martin Griffiths ametoa taarifa leo 30 Aprili 2023 akitaka mapigano yakome kwa kuwa janga la kibinadamu nchini humo limefikia hali mbaya.