UNCDF Tanzania: Fursa ya ufadhili katika nishati safi na salama kupitia ‘CookFund’
Shirika la Umoja wa Mataifa la mitaji ya maendeleo (UNCDF) linatekeleza Programu ya CookFund ya miaka mitatu (2021-2024) inafadhiliwa na Muungano wa Ulaya (EU) chini ya Mbinu Jumuishi ya Mpango wa Suluhu Endelevu ya Kupika.