Amazon, DoorDash na Walmart walaumiwa
Mtaalamu Maalumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu, OHCHR Olivier De Schutter, ametuma amewataka Wakurugenzi Wakuu wa Amazon, DoorDash na Walmart kushughulikia madai kwamba mishahara katika mashirika haya yenye makao yake makuu nchini Marekani yanawaingiza wafanyakazi katika umaskini na kuwalazimisha kutegemea msaada wa serikali ya Marekani kuendesha maisha.