UN yalaani mashambulizi ya mabomu ya kujitoa mhanga Pakistan
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mashambulizi ya mabomu ya kujitoa mhanga katika msikiti wa Hangu huko Khyber Pakhtunkhwa na katika maandamano ya kidini huko Mastung, Balochistan, nchini Pakistan.