Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

© UNICEF/Jospin Benekire
Mama na watoto wake wakipita katika kambi ya watu waliokimbia makazi yao huko Goma, mashariki mwa DR Congo.

DRC iko mbioni kuvunja rekodi ya ukiukwaji wa haki za watoto: UNICEF

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mwaka huu wa 2023 iko mbioni kuwa na viwango vya kuvunja rekodi vya ukiukaji mkubwa uliothibitishwa dhidi ya watoto kwa mwaka wa tatu mfululizo, kwa mujibu wa taarifa mpya iliyotolewa Alhamisi mjini Goma na shirika la umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF.