Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Nchi barani Afrika zinapata chanjo kupitia Kituo cha COVAX.
WHO

Visa vipya vya COVID-19 vyapungua duniani: WHO

Ripoti mpya ilitolewa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO kuhusu janga la COVDI-19 inaonesha matukio ya kila wiki ya visa vipya vya wagonjwa yamepungua kwa asilimia 5 na vifo vinavyohusiana na janga hilo vikipungua kwa asilimia 10 katika wiki ya kuanzia tarehe 6 mpaka 10 Desemba 2021.