Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Nchi barani Afrika zinapata chanjo kupitia Kituo cha COVAX.
WHO

COVID-19: Sitisha au futa shughuli sasa ulinde uhai badala ya kujuta- WHO

Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni, WHO limesihi mamlaka na watu binafsi kuangalia uwezekano wa kufuta au kusitisha kwa muda shughuli za mikusanyiko hivi sasa kama njia mojawapo ya kudhibiti kasi ya kusambaa kwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona au COVID-19 hasa wakati huu ambapo aina mpya ya virusi Omnicron inasambaa kwa kasi kubwa kuliko virusi vya awali.