Wakimbizi wa DRC walioko Zambia waamua kurejea nyumbani kwa hiari
Takribani wakimbizi 5,000 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambao walikimbilia nchi jiraniya Zambia miaka minne iliyopita kutokana na machafuko nchini wao wameamua kwa hiari kurejea nyumbani.