Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Watoto waliokuwa wakitumikishwa vitani wasimulia madhila yaliyowakumba kwa balozi wa Sweden kwenye Umoja wa Mataifa Olof Skoog wakiwa ziarani ya baraza la usalama kama kwa ajili ya watoto kwenye mizozo.
UN Photo/Isaac Billy

Baada ya dhiki ni faraja kwa watoto wapiganaji wa zamani Sudan Kusini

Watoto wapiganaji wa zamani katika vita vya wenye kwa wenyewe nchini Sudan Kusini , hatimaye wameaanza kuona nuru baada ya elimu inayotolewa na shirika la Veterinaires Sans Frontieres kutoka Ujerumani, kuwasaidia kujikimu. Miongoni mwa vijana hao walioachiwa huru na makundi ya wapiganaji ni James Korok mwenye umri wa miaka 19 anayeisaidia familia yake kwa shughuli ya ushonaji.