Chuo Kikuu cha wakimbizi kufunguliwa Kenya:UNHCR
Umoja wa Mataifa unatambua kuwa wakimbizi nao licha ya kukimbilia ugenini kuokoa maisha yao, bado wana stadi mbalimbali na ujuzi ambao ukinolewa unaweza kuboresha siyo tu maisha yao bali pia maisha ya kule ambako wamesaka hifadhi.