Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Mkimbizi wa ndani Sudan Kusini akiwa na virago vyake kufuatia ghasia zinazoendelea nchini humo. UNMISS (Maktaba)
UNMISS (Maktaba)

Nilichoshuhudia kinakatisha tamaa- Shearer

Kufuatia mapigano ya hivi karibuni huko Sudan Kusini yaliyosababisha maelfu ya watu kukimbia makazi yao, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo David Shearer amezuru maeneo hayo na kushuhudia hali halisi ikiwemo mtoto aliyenusurika kifo baada ya kupigwa risasi.

Sauti
1'39"