Raia wa Sudan Kusini asimulia alivyobakwa baada ya mumewe kuuawa
Hali bado si shwari kwenye jimbo la Unity nchini Sudan Kusini, jambo linalofanya maelfu ya raia wa kukimbia mapigano huku wakikumbwa na madhila ikiwemo kubakwa.
Hali bado si shwari kwenye jimbo la Unity nchini Sudan Kusini, jambo linalofanya maelfu ya raia wa kukimbia mapigano huku wakikumbwa na madhila ikiwemo kubakwa.
Baada ya pande kinzani nchini Sudan Kusini kuridhia sitisho la mapigano, IGAD imezitaka kusimamia ahadi hiyo ili hatimaye kuwepo na amani ya kudumu nchini humo.
Mizozo kote duniani inaibua vitisho na machungu kwa mamilioni ya raia wakiwemo wanawake, wasichana, wanaume, wavulana na watoto.
Wajumbe na viongozi wa kidini kutoka Sudan Kusini, wanaohudhuria mkutano wa ngazi za juu wa jukwaa la kuongeza matumaini ya amani nchini mwao, wamejikuta wakibubujika machozi kutokana na mateso waliyoshuhudia nchini mwao.
Mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini wa UNIMISS amewahimiza viongozi nchini humo kuweka maslahi ya watu wao kwanza na kutumia wakati huu ili wasikilizane waweze kuleta amani ya kudumu.
Kwa mara ya tatu mwaka huu watoto wengine zaidi ya 200 wameachiiliwa Alhamisi na makundi ya waasi nchini Sudan Kusini.
Takriban walinda amani 150 leo wamepelekwa haraka kwenye jimbo la Unity nchini Sidan Kusini katika jitihada za mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini humo UNMISS, ili kuwalinda raia ambao wanalengwa kwa maksudi na pande kinzani katika mzozo unaonendelea.
Nilichokishuhudia Sudan Kusini kwa maelfu ya watu waliotawanywa kinasikitisha, amesema msaidizi wa Katibu Mkuu wa masuala ya kibinadamu Mark Lowcock ambaye leo anahitimisha ziara ya siku mbili nchini humo.
Kufuatia mapigano ya hivi karibuni huko Sudan Kusini yaliyosababisha maelfu ya watu kukimbia makazi yao, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini humo David Shearer amezuru maeneo hayo na kushuhudia hali halisi ikiwemo mtoto aliyenusurika kifo baada ya kupigwa risasi.