WFP na Luxembourg zashirikiana kurahisisha mawasiliano kwenye majanga
Manufaa ya ubia kati ya sekta ya umma na binafsi yameendelea kudhihirisha na hivi sasa ni katika sekta ya mawasiliaoni wakati wa majanga ambapo shirika la mpango wa chakula duniani, WFP na serikali ya Luxembourg wamewezesha matumizi ya teknolojia ya kisasa zaidi ya mawasiliano wakati wa majanga.