Ukame wawalazimu Wasomali zaidi kufungasha virago kuingia Ethiopia: UNHCR
Hali mbaya ya ukame na usalama nchini Somalia imewalazimu maelfu wa watu kuendelea kufungasha virago tena na kukimbia nchi jirani ya Ethiopia kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR.