Somalia yakabiliwa na kiwango kidogo cha mavuno ya nafaka
Mavuno ya nafaka nchini Somalia kwa mwaka huu wa 2019 yamekuwa ni kiwango cha chini zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu mwaka 2011, na hivyo kuliweka taifa hilo katika hali tete ya uhakika wa chakula.