Wanawake na wasichana ni ufunguo wa mustakbali wa DRC: WFP
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP yupo ziarani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ambapo katika kuelekea siku ya wanawake duniani itakayoadhimishwa Ijumaa Machi 8 wiki hii ametembelea vikundi vya wanawake wajasiriamali wanaojishughulisha na shughuli mbalimbali za kuwaingizia kipato .