DRC: Mapigano kati ya FARDC na M23 yafurusha maelfu Kivu Kaskazini
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanyotoa huduma za kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yana wasiwasi mkubwa kuhusu kuzidi kuzorota kwa hali ya kibinadamu nchini humo, hususan kwenye mji wa Masisi, jimboni Kivu Kaskazini mashariki mwa taifa hilo.